Posts

https://youtu.be/2n8Y2w08hTQ
Image
Tunza mazingira yakutunze Wananchi wameaswa kuendelea kutunza mazingira yao hususani kuendeleza kampeni za upandaji miti ili kukabiliana na janga la badiliko la hali ya hewa na ongezeko la joto duniani.
Image
Image
This was after the Community mobilization session which was hosted by the Community Development students from TICD tengeru during their field practices in one of the place in Arumeru district as seen in the picture above.
Image
This is the beauty of nature One slope of Mount Meru in its natural scenery.
Image
TICD ARUSHA: UCHAGUZI WA RAISI NA MAKAMU WAKE WAPAMBA MOTO. Wanafunzi wa chuo cha taifa cha maendeeo ya jamii alimaarufu kama TICD Tengeru juzi siku ya jumatatu wamejitokeza kwa pamoja kushiriki kikamilifu kumchagua raisi na makamu wa serikali ya wanafunzi ijuikanayo kama TICD-SO. Katika zoezi hilo bwana KINGU D. KINGU alijitokeza kuwania kiti cha uraisi wa chuo hiki bila kuwepo kwa mgombea mwenza na bwana ISMAIL MASSAWANGA  naye alijitokeza kuwania kiti cha makamu wa raisi bila kuwepo kwa mgombea mwenza. Bwana KINGU D INGU alishinda na kutangazwa kupata kura za NDIYO  asilimia 66% nae ISMAIL MASSAWANGA alipata asilimia 72% za kura za ndiyo, hivyo kufanya bwana KINGU D KINGU kuwa raisi wa serikali ya wanafunzi wa TICD SO pamoja na bwana ISMAIL MASSAWANGA kuwa makamu wa raisi wa TICD-SO. Na Castory Mbunda, blogger